**Exploring Zanzibar: The Intriguing Isle with a Touch of Merriment.
![Image](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiRLxv47xituEIBCsdJuo_Dzeha7dLpw3gnahpE7Cgqbvh5L3nE0FQfCYvOniDLymM3EXYKhwaxRvA48BoLwz7zzCxxzdTyIcvX4CZUilA3ilf2cRu29H5WS8AWl_jN8WuN2QDaqoefRpN2JDtmTRbQeXsoRUk1Jqhcfk3p7N13t-r0bMHBLmWyDC3KtHWv/w400-h299/images.jpg)
Hersi ameomba radhi mashabikiwa Yanga SC na kuwapa pole kutokana na kutopendezwa na matokeo hayo na kuahidi kuyafanyia kazi maoni yao huku akiwaomba wapuuzie kauli yake inayotumika kuwakejeli mashabiki wa Yanga.
“Baada ya mchezo huo kuisha tulipata maoni ya wanachama na wapenzi wetu, sisi kama viongozi tumeyapokea kwa mikono miwili na kamati yangu ya utendaji”
“Maoni yenu ni muhimu sana katika kujenga timu yetu, kupitia hapo wapo baadhi ya watu wasioitakia mema club yetu wakitumia kauli yangu niliyoitoa wakati nazungumza na viongozi wa matawi jijini Mwanza wakiitumia kauli ile kuwakejeli baadhi ya mashabiki nataka niwahakikishie uongozi wenu umekuwa sikivu sana”
Mashabiki wa Yanga hawakuridhishwa na kiwango cha timu yao dhidi ya Club Africain kiasi cha kuamini hata mchezo wa marudiano November 9 2022 nchini Tunisia wanaenda kukamilisha ratiba.
Ni jambo jema kuomba msamaha
ReplyDelete